he has said Seif on mosque bi zired after prayers Friday CCM sword to kill him in APOSTOLIC SAYS STRATEGIES ARE PLANS TO BE ARRESTED AND TAKEN BARA as they are undergoing sheikh SAYS IS ALREADY ARRESTED BUT NEVER BACK I insist that ISLAND ARTICLE blessing BELONG TO ZANZIBAR Island portion blessing immemorial the island belonged to Zanzibar each year Zanzibari were going to embed the flag of Zanzibar on the island I also, when I was minister I went embedding flag in the constitution states that all assets that were before the colonial Zanzibar property will nganyika do not want to say now is the portion of their island, why say it? say so deep blessing island portion provides oiled for now
Kutoka kulia ni Dk. Zaitun Bokhary na Dk. Yona Ringo wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wakimfanyia upasuaji mtoto mwenye tatizo kwenye mfumo wa hewa na chakula LEO kwa kushirikiana na Profesa Saber M. Waheeb (kushoto) na wenzake kutoka Misri. Kutoka kulia ni Dk. Yona Ringo na Dk. Zaitun Bokhary wa Muhimbili wakiendelea na upasuaji kwa kushirikiana na wataalamu kutoka Misri. Profesa Saber M. Waheeb (katikati) akijadiliana jambo na Dk. Zaitun Bokhary kabla ya kuanza kwa shughuli ya upasuaji kwa watoto wanane LEO. Kutoka kushoto ni Mwambata wa Jeshi la Wananchi Tanzania, Kanali Salum Haji Othman nchini Misri na nchi zote za Mashariki ya kati na Dk Yona Ringo wakifuatilia mazungumzo hayo leo. Grace Joel akiwa na watoto wake pacha, Eliudi Joel (katikati) na Elikana Joel wakisubiri kufanyiwa upasuaji wad njia ya mkono. Awali watoto hao kutoka Mbeya walizaliwa wakiwa wameungana na baadaye walifan...
Maoni
Chapisha Maoni