Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Abbas ‘Barthez’ Pira: Mlinda Mlango wa Tanzania aliyepo kwenye majaribio Chelsea FC (Picha)

 

Panapo majaaliwa, Tanzania inaweza ikawa na mchezaji atakayepiga na klabu ya Chelsea ya Uingereza.
CrleBP1WIAAhOm1
Abbas ‘Barthez’ Pira akiwa kwenye majaribio Stanford Bridge
Abbas ‘Barthez’ Pira amechukuliwa kufanyiwa majaribio na klabu ya Chelsea inayomilikiwa na bilionea wa Urusi, Roman Abramovich.
Crlfyp9XgAAHMAA
Barthez akisikiliza maelekezo ya kocha
Pira ni mlinda mlango aliyewahi kuichea Coastal Union ya Tanga.
Crm5a35WAAAu3EM
Kutokana na uwezo wake katika kupangua mashuti anapokuwa golini, mchezaji huyo kijana aliitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kilichokuwa kikijiandaa na kuchuana na Chad kwenye mchezo wa marudiano kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (AFCON) kabla ya Chad kujitoa.
CrnFSRlWgAA_a_g
Na mwezi huu, Septemba, Pira ameanza taratibu kuiishi ndoto yake ya muda mrefu – kuchezea Chelsea.
CrnBmifXEAQuM6m
“Finally made it to Chelsea FC trialist. Proud to be a first Tanzanian to go on Trial at Chelsea FC,” ameandika kwenye Twitter.
Tazama picha zake zaidi.
CrtX2tyWcAAewiI
CrldQ77WYAAJYX8
CrlecIYXYAAV5PL
CrlXWY2XgAEa5kF
CrlZOA2XgAAi7pv
Crm3EV_XYAUKHst
Crm6Xs1WcAQ4zHd
Crm15iFWcAAOkgR
CrnCxu8WcAE339U
CrtGe-fWAAANxiz

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MUHIMBILI YAFANYA UPASUAJI KWA WATOTO WENYE TATIZO MFUMO WA HEWA NA NJIA YA MKOJO.

 Kutoka kulia ni Dk. Zaitun Bokhary  na Dk. Yona Ringo wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wakimfanyia upasuaji mtoto mwenye tatizo kwenye mfumo wa hewa na chakula LEO kwa kushirikiana na  Profesa Saber  M. Waheeb (kushoto) na wenzake kutoka Misri.  Kutoka kulia ni Dk. Yona Ringo na  Dk. Zaitun Bokhary wa Muhimbili wakiendelea na upasuaji kwa kushirikiana na wataalamu kutoka Misri.  Profesa Saber  M. Waheeb (katikati) akijadiliana jambo na Dk. Zaitun Bokhary kabla ya kuanza kwa shughuli ya upasuaji kwa watoto wanane LEO. Kutoka kushoto ni Mwambata wa Jeshi la Wananchi Tanzania, Kanali Salum Haji Othman nchini Misri na nchi zote za Mashariki ya kati na Dk Yona Ringo wakifuatilia mazungumzo hayo leo.   Grace Joel akiwa na watoto wake pacha, Eliudi Joel  (katikati) na Elikana Joel wakisubiri kufanyiwa upasuaji wad njia ya mkono. Awali watoto hao kutoka Mbeya walizaliwa wakiwa wameungana na baadaye walifan...

SOMA BIBLIA TAKATIFU HAPA

                                                        BONYEZA HAPA KUSOMA BIBLIA       

AZAM ACADEMY MABINGWA MICHUANO YA AFRIKA MASHARIKI

TIMU ya vijana ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC ‘Azam FC Academy’, usiku wa leo imefanikiwa kuwa mabingwa wa michuano ya vijana ya Afrika Mashariki ‘Azam Youth Cup 2016’ baada ya kuichapa Ligi Ndogo Academy kutoka Kenya mabao 3-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Azam Complex. Azam Academy inatwaa ubingwa huo ikiwa imefikisha jumla ya pointi tisa baada ya kushinda mechi zote tatu ilizocheza nyingine zikiwa dhidi ya Future Stars Academy kutoka Arusha (4-1) na Football for Good Academy ya Uganda (5-1). Kikosi kizima cha Azam Academy na viongozi wao wakiwa na Kombe lao Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba (kulia) akimkabidhi tuzo mchezaji Shaaban Iddi baada ya kuibuka mfungaji bora Shujaa wa mabingwa hao kwenye mchezo wa leo alikuwa ni mshambuliaji wake hatari Shaaban Idd aliyepachika wavuni mabao mawili kwa ustadi mkubwa dakika ya 15 na jingine 90, alilolifunga kwa staili ya ‘tik-tak’ huku bao jingine likifungwa na mshambuliaji mwingine hodari w...