Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Kijana aliye na jinsia mbili aliyesoma katika shule ya wasichana




-Kijana mmoja amekuwa akiishi kama ‘mwanamke’ kwa miaka.

-Kijana huyo alisoma katika shule za wasichana na hata kupewa jina la kike.

Mvulana mmoja kutoka Naivasha anayejulikana kama Mary Waithera, na ambaye amekua akiishi kama msichana sasa anataka kubalisha majina yake na kujiita James Karanja.

Kijana aliye na jinsia mbili aliyesoma katika shule ya wasichana

Waithera alizaliwa na jinsia mbili miaka ishirini iliyopita na sasa amekugundua kwamba ana wingi wa jinsia za kiume kuliko  za kike.

Cira,kama vile anavyoitwa na wenzake aliishi na nyanyake tangu utotoni  na anasema kwamba nyanya ndiye alimzoesha kwa kumvalisha mavazi ya wasichana.

Baada ya kufanya mtihani wake wa darasa la nane, Waithera alijiunga na shule ya upili ya wasichana ya Kambala katika eneo la Molo, nakueleza kuwa wanafunzi wenzake walimkejeli kwa kumpa jina la utani la ‘Mary boy.’

Wakiongea kwenye Runinga ya Inooro ,waalimu wake walisema hawakujua chochote cha ajabu kwa waithera isipokuwa maumbile yake.

Tayari kimekuwa kibarua kigumu kwake kupata kitambulisho kilicho na majina anayoyataka.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MUHIMBILI YAFANYA UPASUAJI KWA WATOTO WENYE TATIZO MFUMO WA HEWA NA NJIA YA MKOJO.

 Kutoka kulia ni Dk. Zaitun Bokhary  na Dk. Yona Ringo wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wakimfanyia upasuaji mtoto mwenye tatizo kwenye mfumo wa hewa na chakula LEO kwa kushirikiana na  Profesa Saber  M. Waheeb (kushoto) na wenzake kutoka Misri.  Kutoka kulia ni Dk. Yona Ringo na  Dk. Zaitun Bokhary wa Muhimbili wakiendelea na upasuaji kwa kushirikiana na wataalamu kutoka Misri.  Profesa Saber  M. Waheeb (katikati) akijadiliana jambo na Dk. Zaitun Bokhary kabla ya kuanza kwa shughuli ya upasuaji kwa watoto wanane LEO. Kutoka kushoto ni Mwambata wa Jeshi la Wananchi Tanzania, Kanali Salum Haji Othman nchini Misri na nchi zote za Mashariki ya kati na Dk Yona Ringo wakifuatilia mazungumzo hayo leo.   Grace Joel akiwa na watoto wake pacha, Eliudi Joel  (katikati) na Elikana Joel wakisubiri kufanyiwa upasuaji wad njia ya mkono. Awali watoto hao kutoka Mbeya walizaliwa wakiwa wameungana na baadaye walifan...

SOMA BIBLIA TAKATIFU HAPA

                                                        BONYEZA HAPA KUSOMA BIBLIA       

AZAM ACADEMY MABINGWA MICHUANO YA AFRIKA MASHARIKI

TIMU ya vijana ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC ‘Azam FC Academy’, usiku wa leo imefanikiwa kuwa mabingwa wa michuano ya vijana ya Afrika Mashariki ‘Azam Youth Cup 2016’ baada ya kuichapa Ligi Ndogo Academy kutoka Kenya mabao 3-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Azam Complex. Azam Academy inatwaa ubingwa huo ikiwa imefikisha jumla ya pointi tisa baada ya kushinda mechi zote tatu ilizocheza nyingine zikiwa dhidi ya Future Stars Academy kutoka Arusha (4-1) na Football for Good Academy ya Uganda (5-1). Kikosi kizima cha Azam Academy na viongozi wao wakiwa na Kombe lao Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba (kulia) akimkabidhi tuzo mchezaji Shaaban Iddi baada ya kuibuka mfungaji bora Shujaa wa mabingwa hao kwenye mchezo wa leo alikuwa ni mshambuliaji wake hatari Shaaban Idd aliyepachika wavuni mabao mawili kwa ustadi mkubwa dakika ya 15 na jingine 90, alilolifunga kwa staili ya ‘tik-tak’ huku bao jingine likifungwa na mshambuliaji mwingine hodari w...