chunya; uongozi wa serikali katka wilaya ya chunya mkoani mbeya ume wataka wazazi kuhakikisha wanarudisha wanafunzi wote walio kimbia masomo kuanzia sasa had julai 1 mwaka huu. uongozi huo umesems baada ya hapo utafanyika msako wakubaini ambao hawakutekeleza agizo hilo nakufishwa kwenye vyombo vya dola OFISA tawala wa wilaya hiyo SOstenes mayoka ametoa kauli hiyo kikao cha wazazi cha kupanga mikakati ya kuinua kiwango cha elimu wilayani hapa katka kijiji cha itumbikata ya matumbas ''hatutakikuendelea kushuhudia lundo la vijana wasio kuwa na elimu wako mitaan na ninyi wazazi mnao ruhusu watoto wenu kwenda kwenye machimbo badala ya kuwatengenezea mazingira bora ya kwenda shule kiama chenu kina sogea ''amesema mayoka.
Kutoka kulia ni Dk. Zaitun Bokhary na Dk. Yona Ringo wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wakimfanyia upasuaji mtoto mwenye tatizo kwenye mfumo wa hewa na chakula LEO kwa kushirikiana na Profesa Saber M. Waheeb (kushoto) na wenzake kutoka Misri. Kutoka kulia ni Dk. Yona Ringo na Dk. Zaitun Bokhary wa Muhimbili wakiendelea na upasuaji kwa kushirikiana na wataalamu kutoka Misri. Profesa Saber M. Waheeb (katikati) akijadiliana jambo na Dk. Zaitun Bokhary kabla ya kuanza kwa shughuli ya upasuaji kwa watoto wanane LEO. Kutoka kushoto ni Mwambata wa Jeshi la Wananchi Tanzania, Kanali Salum Haji Othman nchini Misri na nchi zote za Mashariki ya kati na Dk Yona Ringo wakifuatilia mazungumzo hayo leo. Grace Joel akiwa na watoto wake pacha, Eliudi Joel (katikati) na Elikana Joel wakisubiri kufanyiwa upasuaji wad njia ya mkono. Awali watoto hao kutoka Mbeya walizaliwa wakiwa wameungana na baadaye walifan...
Maoni
Chapisha Maoni