Kundi
G limebakiwa na Timu 3 tu baada ya Chad kujitoa kutokana na ukata na
sasa, baada ya kumaliza Mechi zao 4, Egypt wametwaa ushindi wa Kundi
wakiwa na Pointi 10 wakifuatiwa na Nigeria wenye Pointi 2 baada ya Mechi
3 na Tanzania, waliocheza Mechi 3 pia, kuwa na Pointi 1.
Katika
Mechi ya Leo Bao za Egypt zilifungwa na Profeshenali wao wa AS Roma
Mohamed Salah Dakika za 44 na 59 huku Kepteni wa Taifa Stars Mbwana
Samatta alikosa Penati Dakika ya 53.
KUNDI G - Msimamo:

++++++++++++++++++++++
AFCON 2017
**Timu zilizofuzu Fainali hadi sasa:
-Wenyeji Gabon
-Kundi C: Mali
-Kundi F: Morocco
-Kundi G: Egypt
-Kundi J: Algeria
-Kundi K: Senegal
-Kundi M: Cameroun
++++++++++++++++++++++
AFCON 2017
Ratiba/Matokeo:
Alhamisi Juni 2
Seychelles 0 Algeria 2
Ijumaa Juni 3
Djibouti 0 Tunisia 3
Mauritania 0 Cameroon 1
Libya 1 Morocco 1
Jumamosi Juni 4
Burundi 0 Senegal 2
Rwanda 2 Mozambique 3
Botswana 1 Uganda 2
South Sudan 0 Mali 3
Guinea-Bissau 1 Zambia 1
Tanzania 0 Egypt 2
1730 Sierra Leone Vs Sudan
South Sudan 0 Mali 3
1800 Gambia Vs South Africa
1830 Ivory Coast Vs Gabon
1900 Sao Tome And Principe Vs Cape Verde
Jumapili Juni 5
1530 Madagascar Vs Congo, DR
1600 Lesotho Vs Ethiopia
1600 Zimbabwe Vs Malawi
1600 Swaziland Vs Guinea
1600 Kenya Vs Congo
1600 Central African Republic Vs Angola
1600 Comoros Vs Burkina Faso
1600 Mauritius Vs Ghana
1700 Benin Vs Equatorial Guinea

Maoni
Chapisha Maoni